|
Meneja Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa,TANAPA Pascal Shelutete akikaribisha mijadala kwa washiriki katika warsha ya Mashirikiano kati ya TANAPA na Vyombo vya Ulinzi na Usalama . |
|
Baadhi ya Washiriki katika Warsha hiyo wakifuatilia kwa makini majadiliano. |
|
Mhifadhi mkuu Mtango Mtaiko akiwasilisha mada kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu TANAPA ,Allan Kijazi juu ya majukumu na changamoto zinazoikabiri TANAPA kwa ujumla. |
|
Meneja Ulinzi wa Hifadhi za Taifa ,TANAPA ,Emily Kisamo akiwasilisha mada juu Uhifadhi/Ulinzi wa Maliasili na Changamoto zake(Ujangili) na Mfumo wa Jeshi Usu. |
|
Baadhi ya washiriki wakifuatilia mjadala. |
|
Baadhi ya Washiriki wakichangia mada kuhusu Uhifadhi /Ulinzi wa Maliasili na Changamoto zake (Ujangili )na Mfumo wa Jeshi Usu. |
|
Kamishina Mwandamizi wa Jeshi la Polisi ,SASP Gustavu Babile akitoa mada juu ya Mchango wa Jeshi la Polisi katika Ulinzi wa Maliasili. |
|
Mhifadhi Mkuu Hifadhi za Taifa TANAPA,Nyamakumbati Mafuru akichangia mada juu ya Mchango wa Jeshi la Polisi katika Ulinzi wa Maliasili. |
|
Mratibu wa Maradi wa SPANEST ,Godwili Ole Meng'ataki akichangia mada hiyo. |
|
Mkuu wa Upelelezi mkoa wa Kilimanjaro RCO ,Ramadhan Ng'anzi akitoa ufafanuzi juu ya mambo mbalimbali yaliyochangiwa katika mada iliyowasilishwa na Kamishna Mwandamizi wa Polisi SASP ,Gustavu Babile |
|
Kaimu Mkuu wa Idara ya Wanayamapori Paul Sarakikya akichangia jambo wakati wa Warsha hiyo. |
|
Baadhi ya Washiriki wakisilikiliza kwa umakini mkubwa wachangiaji katika mada iliyokuwa ikijadiliwa katika Warsha hiyo. |
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya kaskazini.
Comments
Post a Comment