WANACHAMA WA TUICO TAWI LA MUWSA ,WAPATA VIONGOZI WAPYA.

Baadhi ya wanachama wakijiandaa kwa ajili ya kuchagua viongozi wa TUICO,tawi la MUWSA.
Mwenyekiti wa TUICO mkoa wa Kilimanjaro,Renatus Chimola akikusanya kura kwa nafasi ya Uenyekiti.
Wanachama wakisikiliza sera toka kwa wagombea.
Baadhi ya wanachama wakijinadi mbele ya wanachama wa TUICO tawi la MUWSA ,kuomba ridhaa ya kuingoza kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
Mmoja wa wagombea wa nafasi ya Ujumbe wa kamati ya utendaji ya TUICO tawi la MUWSA ,Esther Massawe akiomba kura wakati wa uchaguzi wa viongozi wa tawi hilo.
Kamati ya Uchaguzi wa Viongozi wa TUICO tawi la MWSA wakiendelea na zoezi la kuhesabu kura.
Mwenyekiti wa kamati ya Uchaguzi wa Viongozi wa TUICO,tawi la MUWSA ,Rashid Nachan akitangaza matokeo .
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira MUWSA ambao ni wanachama wa TUICO wakifurahia mara baada ya kutangazwa kwa washindi.
Mwenyekiti wa TUICO mkoa wa Kilimanjaro,Renatus Chimola akizungumza mara baada ya uchaguzi kukamilika.
Mwenyekiti mpya wa Chama cha Wafanyakazi TUICO tawi la MUWSA ,Maulid Barie akizungumza mara baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo.
Viongozi na wananchma wa Chama cha Wafanyakazi TUICO tawi la MUWSA wakiimba wimbo wa Solidarity.
Viongozi wapya wa Chama cha Wafanyakazi (TUICO) tawi la MUWSA wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuchaguliwa kuongoza tawi hilo kwa kipindi cha miaka mitano. 
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Comments

Popular posts from this blog

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,SAID MECKY SADICKY AFANYA ZIARA KATIKA MAGHALA NA MADUKA YA MARENGA INVESTMENT KUJIONEA HALI YA TATIZO LA SUKARI

MGOMO WA WAFANYABIASHARA WATIKISA MKOANI KILIMANJARO.

MREMA AENDELEA NA MIKUTANO JIMBONI KWAKE VUNJO