Kumbukumbu 2014: TIZAMA MAANDALIZI YA KUANZA KWA MPAMBANO WA YANGA NA PANONE FC.

Benchi la ufundi la timu ya Panone fc likiongozwa na kocha Atuga Manyundo.
Benchi la ufundi la timu ya Yanga likiongozwa na kocha Hans van der plujim na Boniface Mkwasa(Master).
Wachezaji wa Panone fc.
Wachezaji wa Yanga.
Yanga.
Waaamuzi wa pambano hilo wakiongozwa na mwamuzi wa kati Vitalis Alfred
Mwamuzi Vitalis Alfred akisalimiana na mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama na kumkaribisha kusalimiana na wachezaji wa Panone fc na Yanga.
Mkuu wa Mkoa ,Gama akisalimiana na mwamuzi msaidizi Ramadhan Mnyone.
Mkuu wa mkoa ,Gama akisalimiana na mwamuzi wa akiba ,Masawe,
Mkuu wa mkoa ,Gama akisalimiana na wachezaji wa Panone fc.
Mkuu wa mkoa Gama akisalimiana na wachezaji wa Yanga.
Viongozi wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro wakiongozwa na mwenyekiti wake Gudluck Mushi na katibu wake Mohamed Musa wakisalimiana na wachezaji wa Yanga.
Mawaidha kabla ya kuanza ka mchezo .
Wachezaji wakipeana mikono .
Nahodha wa Yanga Nadir Haroub"Canavarho" akiteta jambo na nahodha wa Panone fc Juma Mgunya mbele ya waamuzi wa chezo huo.
Waaamuzi na manahodha wakila pozi la picha ya pamoja .
Kikosi cha Panone fc.
Kikosi cha Yanga.

Comments

Popular posts from this blog

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,SAID MECKY SADICKY AFANYA ZIARA KATIKA MAGHALA NA MADUKA YA MARENGA INVESTMENT KUJIONEA HALI YA TATIZO LA SUKARI

CHUO KIKUU CHA MZUMBE WAZINDUA KITUO CHA KUTOA MSAADA WA KISHERIA

MREMA AENDELEA NA MIKUTANO JIMBONI KWAKE VUNJO