Posts

Showing posts from December, 2017

SIKU YA TATU YA KUELEKEA KILELE CHA UHURU KATIKA MLIMA KILIMANJARO KWA WAZALENDO 47 KWA AJILI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 56 YA UHURU PAMOJA NA KUTANGAZA UTALII WA NDANI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA.

Image
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Mstaafu,Jenerali,George Waitara akiwa katika maandalizi ya kuianza siku ya tatu ya Wazalendo 47 kuelekea katika kilele cha Uhuru ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 56 ya Uhuru . Baada ya kupumzika kwa muda katikia kituo cha Horombo Wazalendo kutoka Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ,Waandishi wa Habari,Marafiki wa China na Tanzania pamoja na Watumishi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) walianza safari ya kuelekea kituo cha mwisho cha Kibo kabla ya kuelekea kilele cha Uhuru. Safari ilianza kwa Slogan ile ile ya "Mdogo Mdogo" Baadae Safari ikaingia kwenye barabara yenye mawe hivyo utembeaji katika eneo hili ulihitaji uangalifu wa hali ya juu. Wengine walitengeneza Tabasamu kuonesha safari itamalizika kwa salama. Safari iliendelea na kila mmoja alipambana na hali yake. Hatimaye Wazalendo wakaiacha misitu mifupi bna kuingia katika kituo cha mwisho kabisa yanapotiririka maji. Hapa Wanapaita "Last Wot

DK. KIGWANGALLA AFUNGA MAFUNZO YA 15 YA JESHI USU KWA MAAFISA WANYAMAPORI WA TAWA, TANAPA NA NGORONGORO MKOANI KATAVI

Image
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akiwaongoza Maafisa wa Wanyamapori 87 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania– TAWA, Shirika la Hifadhi za Taifa – TANAPA na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro kupiga gwaride la ukakamavu muda mfupi baada ya kuwatunuku vyeti vya kuhitimu mafunzo ya Jeshi Usu jana katika kituo cha Mlele mkoani Katavi.  Na Hamza Temba-  Mlele, Katavi ........................................................................... WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla amewaagiza wahifadhi wote nchini kushirikiana na wadau wengine hasa mamlaka za Mikoa na Wilaya katika maeneo yenye uvamizi wa mifugo na migogoro ya mipaka ya hifadhi ili kutatua changamoto hizo kwa namna shirikishi ikiwa ni pamoja na kuimarisha utoaji wa elimu kwa wananchi wanaozunguka maeneo hayo. Ametoa agizo hilo jana Disemba, 16, 2017 katika Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi wakati akifunga mafunzo ya 15 ya mabadiliko ya kuelekea mfumo wa Jes

SAFARI YA WAZALENDO 47 ILIVYOINGIA SIKU YA PILI WAKATI WAKIELEKEA KILELE CHA UHURU,KATIKA MLIMA KILIMANJARO.

Image
Baada ya kupumzika katika kituo cha Mandara katika siku ya kwanza ,Mkuu wa Majeshi Mstaafu,Jenerali George Waitara aliongoza Wazalendo 47 kutoka jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ),Wanahabari,Marafiki wa China na Tanzania pamoja na watumishi kutoka Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) katika siku ya pili ya kuelekea kilele cha Uhuru kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 56 ya uhuru wa Tanzania. Miongoni mwao alikuwepo ,Balozi Mstaafu na Mwenyekiti Mstaafu wa Bodi ya Utalii ,Tanzania ,Charles Sanga. Safari ya kuelekea kituo cha pili cha mapumziko cha Horombo ili chagizwa na nyimbo mbalimbali ambazo ziliongeza morali kwa wapandaji. Makao makuu ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) yaliwakilishwa vyema na Meneja wake wa Mawasiliano ,Pascal Shelutete . Mwanahabri Vicky Kimaro aliwakilisha pia Magazeti ya serikali ya HABARI LEO. Mwanahabari George Mbara alikiwalisha vyema kituo cha luniknga cha ITV. Mwanahabari Jamila Omar yeye alifanya uwakilishi wa kitu