Posts

Showing posts from March, 2016

WASHINDI MBIO ZA MAGARI ZA VAISAKH RALLY 2016 WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO

Image
Mfanyabiashara Davis Mosha akiwa na mshindi wa kwanza katika mashindano ya Mbio za magari yaliyofanyika mwishoni mwa wiki mjini Moshi,Gurjit Dhan (kushoto) akiwa na msoma ramani wake Shameer Yusuf (kulia). Mshindi wa pili katika mbio za magari ,Piero Canobbio (kushoto) akiwa na msoma ramani wake Silvia Frigo. Mshindi wa tatu katika mashindano hayo Gurpa Sandhu (kushoto) akiwa na msoma ramani wake Davie Sihoka. Mshiriki wa Mbiio za magari kutoka Morogoro Bob Taylor akipokea kikombe baada ya kumaliza akiwa katika top ten. Zawadi mbalimbali zilizotolewa kwa washiriki wa mashindano hayo ya Vaisakh Rally ambayo hufanyika kila mwaka mkoani Kilimanjaro. Mfanyabiashara Davis Mosha akizungumza mara baada ya kukabidhi zawadi kwa washindi. Washindi wakiwa katika picha ya pamoja na waandaaji wa mbio hizo. Zawadi mbalimbali zilizotolewa kwa washindi pamoja na waandaaji. Mshindi wa kwanza katika Mashindano ya mbio za magari ,Gurjit Dhan (Kulia)

MBIO ZA MAGARI ZA VAISAKH RALLY 2016 ZAFANYIKA KILIMANJARO.

Image
Mratibu wa Mashindano ya Mbio za Magari ya Vaisakh Rally 2016 ,Faheem Aloo akiwa na Mwenyekiti wa matukio wa klabu ya Kilimanjaro Motorspot ,Juma Shaaban. Mratibu wa Mashindano ya Mbio za Magari ya Vaisakh Rally 2016 ,Faheem Alooakizungumza na waandishi wa habari (hawako pichani ) kuhusu maandalizi ya Mbio za Vaisakh Rally 2016 zinazofanyika Jumapili hii katika viwanja vya KIA.   Mkuu wa Usalama wa Kampuni ya Security Group (SGA) Absolom Jailo akizungumza namna ambavyo kampuni hiyo imejipanga kuimarisha ulinzi katika mshindano hayo. Mkuu wa Huduma ya Kwanza katika mashindano hayo Dkt Akshay Prataap akieleza namna walivyojipanga kutoa huduma ya kwanza endapo kutatokea tatizo kwa madereva wanaoshiriki mbio hizo. Zawadi kwa washindi. Hari Singh Rally Team ni moja ya madereva walioingiza gari mpya aina ya Subaru za mwaka 2015 katika mashindano hayo.