Posts

Showing posts from May, 2023

EFTA KUONGEZA IDADI YA WATUMIAJI WA TREKTA

Image
Mkuu wa wilaya ya Kilombero Bw. Dustan Kyobya akizungumza na wakulima wa wilaya ya Kilombero, na kuwahimiza kutumia zana bora za kilimo ili kuongeza ufanisi katika uzalishaji wakati wa mafunzo ya siku moja yaliyokuwa yameandaliwa na taasisi ya EFTA inayojihusisha na utoaji wa mikopo ya mashine za kilimo kwa wakulima. Baadhi ya wakulima wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa na wataalamu wakati wa mafunzo hayo. Afisa Masoko na Mauzo wa kampuni ya kilimo ya Hughes ya Jijini Arusha, inayojishughulisha na utengenezaji na uuzaji wa matrekta aina ya New Holland hapa nchini Bwana Boniface Mollel (Katikati), akitoa maelekezo kuhusu trekta za New Holland TT75, kwa Mkurugenzi Mtendaji wa EFTA Bwana Nicomed Bohay (kulia) wakati wa mafunzo ya siku moja ya kilimo bora kwa wakulima wa wilaya ya Kilombero, wengine katika picha ni Bwana Leonce Malamsha (kushoto) Afisa Uendeshaji Mkuu wa EFTA. Afisa Uendeshaji Mkuu wa EFTA (aliyekaa) Bwana Leonce Malamsha akimsajili mmoja wa washiriki walio