WATANZANIA WANG'ARA MBIO ZA NGORONGORO MARATHONI 2015
| Maratibu wa Mbio ,Meta Paul akiwa na mmoja wa wasiamamizi ,Leila wakati wakiwaandaa wanariadha kuanza mbio za Km 21 katika lango la kuingilia hifadhi ya taifa ya Ngorongoro. |
| Mbio zikianza rasmi. |
| Baaadhi ya washiriki katika mbio hizo ,walikuwemo pia wadhamini kama Maremga Investment,hapa Marenga mwenye truck suit nyeusi akijaribu kukimbiza upepo. |
| Awawli mbio zikiwa bado ndio zimeanza kundi la wakimbiaji lilionekana wote wanakimbia kwa karibu. |
| Muda ulivyosonga na hatua ndivyo zilivyo ongezeka. |
| Hatimaye wakaanza kuachana mmoja baada ya mmoja, |
| Wengine wakaamua kwenda pamoja ili kupeana moja. |
| wengine wakafunguka zaidi. |
| Hatimaye wakapatikana wakimbiaji watatu wakaongoza hadi mwisho wa mbio na hawa ni ,Joseph Theofily(katikati),George Gerald (kulia) na Emanuel Giniki. |
| Mkimbiaji raia wa Kenya ambaye jina lake halikufahamika mara moja akijaribu kuonesha umahiri wake katika mbio hizo. |
| Msichana pekee aliyekuwa akiongoza ni Failuna Abdi . |
| Nyuma ya Failuna alikuwepo Nathalia Elisante. |
| Mshindi wa kwanza katika Mbio za Ngorongoro Maratahoni 2015 ,Joseph Theofily akimaliza mbio hizo katika uwanja wa Mazingira Bora akitumia muda wa 1:03:09. |
| Mshindi wa Pili katika mbio hizo ,George Gerald akihitimisha mbio hizo akitumia muda wa 1:03:36 |
| Mshindi wa tatu ,Emanuel Giniki akikalimilisha mbio kwa muda wa 1:03:42. |
| Giniki akijaribu kupoza koo mara baada ya kumaliza mbio. |
| Mkimbiaji wa klabu ya riadha ya Holili,Osward Moris akihitimisha mbio. |
| Mshindi wa kwanza kwa kina dada Failuna Abdi akihitimisha mbio katika nafasi ya kwanza baada ya kutumia muda wa 1 :10:25 |
| Mgeni rasmi katika mbio hizo ,Waziri mkuu Mstaafu ,Fredirck Sumaye akiingia uwanjani huku akihitimisha mbio za km 21 . |
| Mshindi wa kwanza kwa wanawake,Failuna Abdi akichukuliwa maelezo mara baada ya kumaliza mbio akiwa nafasi ya kwanza. |
| Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures,Zainab Ansel akizungumza na wanahabari katika tamasha hilo. |
| Meza kuu wakifuatilia mambo mablimbali yanavyoenda uwanjani hapo. |
| Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures,Zainab Ansel akizungumza wakati wa kuhitimisha tamasha la nane la mbio za kimataifa za Ngorongoro Marathoni zilizofanyika Karatu mkoani Arusha. |
| Baaadhi ya wananchi waliojitokeza katika tamasha hilo. |
| Rais wa shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka akizungumza katika tamasha hilo. |
| Waziri mkuu Mstaafu ,Frerick Sumaye akitoa hotuba yake wakati wa tamasha la nane la mbio za kimataifa za Ngorongoro Marathoni zilizofanyika mwishoni mwa wiki Karatu mkoani Arusha. |
| Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures,Zainab Ansel akitoa zawadi kwa washindi wa mbio za Km 5 upande wa wasichana. |
| Umati wa wananchi ukifuatilia matukio mbalimbali katika mbio hizo. |
| Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures ambao ndio waandaaji wakuu wa mbio hizo,Zainab Ansel akikabidhi zawadi kwa mwakilishi wa Bonite Bottlers ambao pia walikuwa wadhamini wa mbio hizo. |
| Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures ambao ndio waandaaji wakuu wa mbio hizo,Zainab Ansel akikabidhi zawadi kwa mwakilishi wa Exim Bank ambao pia walikuwa wadhamini wa mbio hizo. |
| Mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures ambao ndio waandaaji wakuu wa mbio hizo,Zainab Ansel akikabidhi zawadi kwa mwakilishi wa Marenga Investment ambao pia walikuwa wadhamini wa mbio hizo. |
| Waziri mkuu mstaafu ,Fredrick Sumaye akikabidhi zawadi kwa mkurugenzi wa Zara Tanzania and Adventures kama mwandaji mkuu wa mbio hizo. |
| Washindi wa mbio hizo kwa upande wa wanawake, |
| Waziri mkuu mstaafu ,Fredrick Sumaye akimvisha medali mshindi wa kwanza katika mbio hizo,Failuna Abdi. |
| Waziri mkuu Mstaafu akiwa katika picha ya pamoja na washindi. |
| Waziri mkuu mstaafu akimvisha medali ,mshindi wa kwanza katika mbio za km 21 kwa upande wa wanaume ,Joseph Theofily, |
| Waziri mkuu mstaafu akiwa katika picha ya pamoja na washindi kwa upande wa kiume. |
Comments
Post a Comment