RAIS MPYA WA MUCSO ACHAGULIWA

ANTHONY NDEWAWIO 
Rais wa serikali ya wanafunzi MUCSOAmepata kura 947



Makamu wa rais ,Bi Cadisa Peter

Baraka Mashaka Amepata kura 736
Emanuel Philemon
Kulwa Mang'anaAmepata kura 291
Carlos Kiria





                                               
 Wajumbe wa tume ya Uchaguzi kulia ni Dixon Busagaga na shoto kwake ni Joshua Mulungu wakifuatilia zoezi la utangazaji wa matokeo ya Rais.
Wanafunzi wa chuo kikuu kishiriki cha ushirika na biashara MUCCoBS..
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zengo Polle akimkaribisha Anthony Ndewawio mara baada ya kumtangaza mshindi wa nafasi ya uraisi.

Wanafunzi wakiwa katika foleni ya kupiga kura katika jengo la Pius Msekwa.

Zoezi la Uchaguzi likindelea

                          Mjumbe wa tume Bw Snguo akifanya utaratibu wa kuhakiki jina la mpiga kura.
Mmoja wa wapiga kura akitimiza haki yake ya msingi ya kupata kiongozi wa serikali ya wananfunzi MUCSO

Comments

Popular posts from this blog

MGOMO WA WAFANYABIASHARA WATIKISA MKOANI KILIMANJARO.

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,SAID MECKY SADICKY AFANYA ZIARA KATIKA MAGHALA NA MADUKA YA MARENGA INVESTMENT KUJIONEA HALI YA TATIZO LA SUKARI

MREMA AENDELEA NA MIKUTANO JIMBONI KWAKE VUNJO