MAANDALIZI KILIMANJARO MARATHONI HAYA HAPA.

Mabango mbalimbali ya wadhamini wa mbio za Kimatafa za Kilimanjaro
marathoni tayari yameanza kuupamba mji wa Moshi.
Mkurugenzi wa mbio za Kilimanjaro marathoni 2014, John Bayo
akizungumzia njia mpya ambazo wakimbiaji watazitumia mwaka huu.
Ramani ya njia itakayotumika kwa wakimbiaji wa mbio za kujifurahisha
za Vodacom fun run.
Ramani ya njia itakayotumika kwa wakimbiaji wa mbio za Full
marathon,half marathoni pamoja na mbio za walemavu.

Comments

Popular posts from this blog

MAKATIBU WA CCM VUNJO WASEMA HAWANA UGOMVI NA KATIBU WAO WA WILAYA.

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI, ENG. RAMO MAKANI AZINDUA MIRADI YA TANAPA CHAMWINO, DODOMA, AELEZA MIPANGO YA SERIKALI YA KUKABILIANA NA TATIZO LA WANYAMAPORI WANAOVAMIA MAKAZI YA WATU