MAANDALIZI KILIMANJARO MARATHONI HAYA HAPA.

Mabango mbalimbali ya wadhamini wa mbio za Kimatafa za Kilimanjaro
marathoni tayari yameanza kuupamba mji wa Moshi.
Mkurugenzi wa mbio za Kilimanjaro marathoni 2014, John Bayo
akizungumzia njia mpya ambazo wakimbiaji watazitumia mwaka huu.
Ramani ya njia itakayotumika kwa wakimbiaji wa mbio za kujifurahisha
za Vodacom fun run.
Ramani ya njia itakayotumika kwa wakimbiaji wa mbio za Full
marathon,half marathoni pamoja na mbio za walemavu.

Comments

Popular posts from this blog

CHUO KIKUU CHA MZUMBE WAZINDUA KITUO CHA KUTOA MSAADA WA KISHERIA

TIB YAKABIDHI MICHORO HALISI YA KITUO CHA MABASI KWA UONGOZI WA MANISPAA YA MOSHI.

BILIONI 4 KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI KONDOA ,DC NYANGASA AONYA