MAANDALIZI KILIMANJARO MARATHONI HAYA HAPA.

Mabango mbalimbali ya wadhamini wa mbio za Kimatafa za Kilimanjaro
marathoni tayari yameanza kuupamba mji wa Moshi.
Mkurugenzi wa mbio za Kilimanjaro marathoni 2014, John Bayo
akizungumzia njia mpya ambazo wakimbiaji watazitumia mwaka huu.
Ramani ya njia itakayotumika kwa wakimbiaji wa mbio za kujifurahisha
za Vodacom fun run.
Ramani ya njia itakayotumika kwa wakimbiaji wa mbio za Full
marathon,half marathoni pamoja na mbio za walemavu.

Comments

Popular posts from this blog

MGOMO WA WAFANYABIASHARA WATIKISA MKOANI KILIMANJARO.

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,SAID MECKY SADICKY AFANYA ZIARA KATIKA MAGHALA NA MADUKA YA MARENGA INVESTMENT KUJIONEA HALI YA TATIZO LA SUKARI

MREMA AENDELEA NA MIKUTANO JIMBONI KWAKE VUNJO