TIZAMA MATUKIO MBALIMBALI YA MCHEZO WA YANGA NA PANONE FC YA KILIMANJARO KABLA YA KUANZA.

Mgeni rasmi katika pambano hilo mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akisalimiana na viongozi wa Yanga mara baada ya kuwasili uwanjani hapo.
Baadhi ya viongozi wa Yanga walimkumbuka Gama wakati huo akiwa mkuu wa wilaya ya Ilala ambako katika kipindi chake Yanga ilichukua Ubingwa.
Mashabiki wa soka wakiwa wamefurika katika uwanja wa Ushirika.
Baadhi ya viongozi wa Yanga na Chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro wakiteta jambo.
Mama Yanga pia alikuwepo sanjari na mashabiki wengine wa Yanga.
Mashabiki pekee wa timu ya Panone pia walikuwa uwanjani hapo.
Panone fc wakipasha misuli moto.
Yanga wakipasha misuli moto.

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

MGOMO WA WAFANYABIASHARA WATIKISA MKOANI KILIMANJARO.

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,SAID MECKY SADICKY AFANYA ZIARA KATIKA MAGHALA NA MADUKA YA MARENGA INVESTMENT KUJIONEA HALI YA TATIZO LA SUKARI

MAKATIBU WA CCM VUNJO WASEMA HAWANA UGOMVI NA KATIBU WAO WA WILAYA.