JENGO LA NSSF KUBADILI TASWIRA YA MJI WA MOSHI.

Jengo jipya linalojengwa na Shirika la taifa la Hifadhi ya Jamii  (NSSF) kukamilika kwake kutabadili taswira ya mji wa Moshi kwa kiasi kikubwa.Ni jengo ambalo limejengwa kisasa  ambalo kukamilika kwake kutapendezesha mji wa Moshi. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya kaskazini.

Comments

Popular posts from this blog

CHUO KIKUU CHA MZUMBE WAZINDUA KITUO CHA KUTOA MSAADA WA KISHERIA

TIB YAKABIDHI MICHORO HALISI YA KITUO CHA MABASI KWA UONGOZI WA MANISPAA YA MOSHI.

BILIONI 4 KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI KONDOA ,DC NYANGASA AONYA