MGOMO WA WAFANYABIASHARA WATIKISA MKOANI KILIMANJARO.

Pirika pirika zilizozoeleka katika kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi hazikuonekana katika kituo hicho.
Maduka yaliyopo katika jengo la Halmashauri ya manispaa ya Moshi lenye ghorofa mbili pia hali ilikuwa hivi.
Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa baadhi ya maduka yaliyoko Double road.
Baadhi ya wafanyabiashara wakiwa nje ya maduka yao mara baada ya kuamua kuyafunga kwa kile wanaochodai kufanya mgomo kwa lengo la kumuunga mkono Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Johnson Minja ambaye kesi yake inasikilizwa mkoani Dodoma.
Maduka yaliyoko kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi yakiwa yamefungwa mara baada ya wafanyabiashara kuamua kufanya mgomo.
Baadhi ya maduka katika jengo ala Neneu Complex yakiwa yamefungwa hakuna huduma iliyokuwa ikitolewa.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Comments

Popular posts from this blog

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,SAID MECKY SADICKY AFANYA ZIARA KATIKA MAGHALA NA MADUKA YA MARENGA INVESTMENT KUJIONEA HALI YA TATIZO LA SUKARI

MREMA AENDELEA NA MIKUTANO JIMBONI KWAKE VUNJO