MKUU WA WILAYA YA ROMBO,AGNES HOKORORO AKAMATA NA KUTEKETEZA LITA 4000 YA POMBE CHAFU.
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Mkuu wa wilaya ya Rombo Agnes Hokororo akiangalia namna pombe ya kienyeji inavyoandaliwa baada ya kukamata kiwanda bubu cha kutengenezea pombe bila ya kufuata taratibu.
Mmiliki wa kiwanda cha kutengeneza pombe ya kienyeji aliyefahamik kwa jina moja la Carlos akitoa maelezo kwa Mkuu wa wilaya ya Rombo Agnes Hokororo namna wanavyoandaa pombe hiyo.
Carlos akifungua madumu makubwa yaliyohifadhi Pombe ya Kienyeji wakati wa utengenezaji wake katika kijiji cha Useri wilayani Rombo.
Sehemu ya Pombe ikiwa katika Mapipa baada ya kuvundikwa.
Kreti za Chupa za Banana ambazo zimekuwa zikitumika pia katika kuwekea pombe hiyo mara baada ya kutengenezwa.
Askari Mgambo akiweka ndizi zilizovundikwa katika ndoo ambazo pia hutumika katika utengenezaji wa pombe hiyo ya kienyeji.
Mkuu wa wilaya ya Rombo,Agnes Hokororo akimwaga pombe hiyo iliyokuwa katika Chupa.
Mkuu wa wilaya ya Rombo Agnes Hokororo akitizama daftari la mauzo lililokutwa katika kiwanda hicho.
Nyumba ambayo imekuwa iktumika kutengenezea Pombeza kienyeji kulipokutwa mitambo wa kutegeneza pamoja na pombe iliyokuwa katika maandalizi.
Mkuu wa wilaya ya Rombo Agnes Hokororo akimwaga pombe ya kienyeji iliyokuwa ikiandaliwa katika moja ya kiwanda bubu kilichokutwa katika kijiji cha Useri wilayani humo.
Katibu tawala wa wilaya ya Rombo ,Abubakar Asenga akimwaga pombe hiyo mara baada ya kufanya operesheni ya kushtukiza katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya Rombo.
Pombe iliyokuwa katika maandalizi ikimwagwa katika kiwanda hicho.
Vizibo ambavyo vimekuwa vikitumika katika kufunika pombe hiyo mara baada ya kujazwa katika chupa.
Katibu tawala wa wilaya ya Rombo,Abubakar Asenga akipakia madumu makubwa yaliyokutwa yakitumika katika utengenezaji wa Pombe katika kijiji cha Useri wilaya Rombo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe mkoani Morogoro Prof Lughano Kusiluka akisisitiza jambo kwa wanafunzi chuo hicho kitivo cha Sheria alipowataka kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi mara baada ya uzinduzi wa kituo cha Sheria chuoni hapo Mkuu wa wilaya ya Mvomero Mohamed Utaly aliyekuwa mgeni rasmi wakati wa uzinduzi wa kituo cha Msaada wa kisheria katika Chuo Kikuu cha akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kuanzishwa kwa kituo cha msaada wa kisheria chuo kikuu Mzumbe Mkoani Morogoro anayefata alieshikilia vitabu ni makamu mkuu wa chuo kikuu cha mzumbe Prof, Lughano Kusiluka
Mkurugenzi wa Mipango na Mikakati wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB) Jaffer Machano akizungumza wakati wa kikao kifupi kati ya uongozi wa TIB na ule wa Manispaa ya Moshi juu ya Ujenzi wa kituo kipya cha kisasa cha Mabasi cha Ngangamfumuni . Kikao kinaendelea. Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa kikao hicho. Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi ,Shaban Ntarambe akitoa neno la shukrani wakati ujumbe wa Benki ya Rasilimanli nchini TIB ulipotembelea ofisini kwake kwa ajili ya kukabidhi michoro halisi ya kituo kikuu cha mabasi cha kisasa cha Ngangamfumuni . Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB) Peter Noni akimkabidhi Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Jafary Michael ,CD ya mchoro halisi wa Jengo la kisasa la kituo kikuu cha Mabasi cha Ngangamfumuni mkoani Kilimanjaro Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB) Peter Noni akimkabidhi Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Jafary Michael...
Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Fatma Nyangasa akitoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kondoa Bi Dollah Kilo wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi na vyanzo vya maji katika wilaya hiyo. Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Fatma Nyangasa akiwa ameongozana na watendaji wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira pamoja na Ruwasa Kondoa alipotembelea ofisi mpya za Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kondoa . Sehemu ya miundombinu ya maji kwa ajii ya ukamilishaji wa mradi mkubwa wa Maji wa Bilioni nne uliotolewa na Serikali kwa ajili ya kunguza changamoto ya Maji kwa wananchi wa wilaya ay Kondoa . Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Fatma Nyangasa akioneshwa jambo na Kaimu Meneja wa Ruwasa wilaya ya Kondoa Mhandisi Merinyo wakati wa ziara yake ya kutembelea vyanzo vya maji . Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Fatma Nyangasa akitoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kondoa Bi Dollah Kilo wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi n...
Comments
Post a Comment