MAFURIKO SAME YAKATA MAWASILIANO YA MIOUNDO MBINU ,WANACHI WATUMIA MITUMBWI NA TREKTA KUSAFIRISHA MALI ZAO.
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro,Aisha Amour (aliyenyoosha mkono) akiwa na baadhi ya Wajumbe wa kamati ya Maafa ya mkoa wakiwa eneo la Ruvu Darajani ambako magari yanaishia baada ya miuondo mbinu ya barabara kujaa maji .
Moja ya barabara ambayo ilikuwa ikitumiwa na wakazi wa maeneo ya Ruvu Muungano na Darajani ikiwa imejaa maji na kusababisha adha kwa wasafiri.
Baadhi ya wananchi wakijaribu kuyahama makazi yao baada ya nyumba zao kuzingirwa na maji katika Vijiji vya Ruvu Marwa na Ruvu Mferejini.
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakitumia usafiri wa pikipiki kwa maeneo ambayo bado hayajafikwa na maji mengi.
Kutokana na miundombinu ya barabara kuharibika vibaya baadhi ya wafanyabiashara ya bidhaa ndogondogo wametumia kadhia hiyo kununua bidhaa kama Unga na Mchele na kuwauzia wananchi waliozingirwa na maji kwa bei ya juu.
Usafiri pekee kwa sasa katika maeneo hayo ni Trekta na Mitumbwi ambayo imekuwa ikitumika kuhamisha mali pamoja na wananchi.
Na Hii ndio hali Halisi ya wananchi katika maeneo hayo wamelazimka kutumia mitumbwi kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine .
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe mkoani Morogoro Prof Lughano Kusiluka akisisitiza jambo kwa wanafunzi chuo hicho kitivo cha Sheria alipowataka kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi mara baada ya uzinduzi wa kituo cha Sheria chuoni hapo Mkuu wa wilaya ya Mvomero Mohamed Utaly aliyekuwa mgeni rasmi wakati wa uzinduzi wa kituo cha Msaada wa kisheria katika Chuo Kikuu cha akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kuanzishwa kwa kituo cha msaada wa kisheria chuo kikuu Mzumbe Mkoani Morogoro anayefata alieshikilia vitabu ni makamu mkuu wa chuo kikuu cha mzumbe Prof, Lughano Kusiluka
Mkurugenzi wa Mipango na Mikakati wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB) Jaffer Machano akizungumza wakati wa kikao kifupi kati ya uongozi wa TIB na ule wa Manispaa ya Moshi juu ya Ujenzi wa kituo kipya cha kisasa cha Mabasi cha Ngangamfumuni . Kikao kinaendelea. Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa kikao hicho. Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi ,Shaban Ntarambe akitoa neno la shukrani wakati ujumbe wa Benki ya Rasilimanli nchini TIB ulipotembelea ofisini kwake kwa ajili ya kukabidhi michoro halisi ya kituo kikuu cha mabasi cha kisasa cha Ngangamfumuni . Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB) Peter Noni akimkabidhi Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Jafary Michael ,CD ya mchoro halisi wa Jengo la kisasa la kituo kikuu cha Mabasi cha Ngangamfumuni mkoani Kilimanjaro Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB) Peter Noni akimkabidhi Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Jafary Michael...
Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Fatma Nyangasa akitoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kondoa Bi Dollah Kilo wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi na vyanzo vya maji katika wilaya hiyo. Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Fatma Nyangasa akiwa ameongozana na watendaji wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira pamoja na Ruwasa Kondoa alipotembelea ofisi mpya za Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kondoa . Sehemu ya miundombinu ya maji kwa ajii ya ukamilishaji wa mradi mkubwa wa Maji wa Bilioni nne uliotolewa na Serikali kwa ajili ya kunguza changamoto ya Maji kwa wananchi wa wilaya ay Kondoa . Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Fatma Nyangasa akioneshwa jambo na Kaimu Meneja wa Ruwasa wilaya ya Kondoa Mhandisi Merinyo wakati wa ziara yake ya kutembelea vyanzo vya maji . Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Fatma Nyangasa akitoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kondoa Bi Dollah Kilo wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi n...
Comments
Post a Comment