RC KILIMANJARO AFUTA LIKIZO KWA WATENDAJI WOTE WA SERIKALI.
Mkuu wa mkoa wa Kilimajaro,Amosi Makala akizunumza na wakuu wa wilaya ,wakurugenzi,Wakuu wa taasisi mbalimbali za umma katika kikao cha utendaji kazi kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya mkuu wa mkoa. Wakuu wa wilaya za mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika kikao hicho,kutoka kuslia ni Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka, Helman Kapufi (Mkuu wa wilaya ya Same) Novautus Makunga (Mkuu wa wilaya ya Moshi) na Lembris Kipuyo (Mkuu wa wilaya ya Rombo). Baadhi ya wakurugenzi wakiwa katika kikao hicho. Watendaji wengine wa serikali wakifuatilia hotuba ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro alipokutana nao . Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro,Severine Kahitwa akizungumza katika kikao hicho. Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Kilimanjaro. Baadhi ya watendaji wa taasisi za umma,kushoto ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Joyce Msiru. Badhi ya watumishi katika ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro. NA Dixon Busagaga wa Globu y...