MHE JOHN MNYIKA AMRITHI ZITTO KABWE CHADEMA
DK SLAA,SALUM MWALIM PAMOJA NA JOHN
MNYIKA Uchaguzi ndani ya chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA leo
usiku huu umefikia tamati kwa kamati kuu ya chama hicho kupata viongozi wake
wamwisho ambao ni KATIBU MKUU ,NAIBU KATIBU MKUU BARA pamoja na NAIBU KATIBU
MKUU ZANZIBAR
MATOKEO
KATIBU MKUU --DK WILLBROD
SLAA--
NAIBU KATIBU MKUU
BARA---JOHN MNYIKA
NAIBU KATIBU MKUU
ZANZIBAR--SALUM MWALIM
Viongozi awa waliteuliwa na
mwenyekiti wa chama hicho kama katiba inavyosema na hatimaye baraza kuu
likawapitisha wote bila kuwapinga
mh JOHN MNYIKA anateuliwa
kushika nafasi ambayo ilikuwa inashikiliwa na mbunge wa jimbo la kigoma
kaskazini mh ZITTO KABWE ambaye aliondolewa katika nafasi hiyo na kamati kuu ya
chama kwa kile ambacho kilisemekana kuvunja katiba ya chama hicho
Comments
Post a Comment