JK AFUNGUA RASMI BARABARA YA MWENGE TEGETA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Masaki
Okada wakifungua kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa
barabara ya Mwenge-Tegeta leo katika eneo la Lugalo
njiapanda ya Kawe jijini Dar es salaam. Ujenzi na upanuzi wa barabara
ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania
wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es Salaam.
Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadiki, Meya
wa Konondoni Mhe, Mbunge wa Kawe Mhe Halima Mdee na Mwenyekiti
wa CCM wa mkoa wa Dar es salaam Ndg Ramadhani
Madabida
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Japan nchini
Tanzania Mhe. Masaki Okada wakifurahia
baada ya kufungua kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa barabara ya
Mwenge-Tegeta leo katika eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe
jijini Dar es salaam. Ujenzi na upanuzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta
Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania wa kupunguza
msongamano wa magari katika jiji la Dar es Salaam. Wengine ni Mkuu wa
Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadiki, Meya wa Konondoni Mhe,
Mbunge wa Kawe Mhe Halima Mdee na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa
Dar es salaam Ndg Ramadhani Madabida
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Japan nchini
Tanzania Mhe. Masaki Okada wakikata
utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa barabara ya Mwenge-Tegeta
leo katika eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe jijini Dar es
salaam. Ujenzi na upanuzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni
sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania wa kupunguza msongamano wa
magari katika jiji la Dar es Salaam. Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es
salaam Mhe Saidi Meck Sadiki, Meya wa Konondoni Mhe, Mbunge wa Kawe
Mhe Halima Mdee, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Musa Iyombe na viongozi
wengine
Sehemu ya barabara ya Mwenge-Tegeta yenye urefu wa
Km 12.9, ambayo ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania wa
kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es
Salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Masaki
Okada wakikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa
barabara ya Mwenge-Tegeta leo katika eneo la Lugalo
njiapanda ya Kawe jijini Dar es salaam. Ujenzi na upanuzi wa barabara
ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania
wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es Salaam.
Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadiki, Meya
wa Konondoni Mhe, Mbunge wa Kawe Mhe Halima Mdee, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Musa Iyombe na
viongozi wengine
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Japan nchini
Tanzania Mhe. Masaki Okada baada ya
ufunguzi rasmi wa barabara ya Mwenge-Tegeta leo katika eneo
la Lugalo njiapanda ya Kawe jijini Dar es salaam. Ujenzi na upanuzi wa
barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya
Tanzania wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es
Salaam. Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck
Sadiki, Mbunge wa Kawe Mhe Halima Mdee, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Musa Iyombe na
viongozi wengine.
Comments
Post a Comment