Posts

Showing posts from July, 2024

MFANYABIASHARA MOSHI AGAWA MITAJI YA MIL 10 KWA MARAFIKI ZAKE .

Image
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu akizungumza wakati wa kukabidhi msaada wa bidha mbalimbali kwa kundi la Wafanyabiashara wadogowadogo walioanza Biashara na Mkurugenzi wa Kampuni ya ZAC Enterprisesya mjini Moshi . Baadhi  ya Wafanyabiashara wadogowadogo katika kundi la Wamachinga 50 walionufaika na msaada kwa ajili ya kukuza mitaji kutoka kampuni ya ZAC Enterprises ya mjini Moshi  Mkurugenzi wa Kampuni ya ZAC Enterprises Izack Ngowi akioa maelezo kuhusu baadhi ya bidhaa alizokabidhi kama msaada kwa ajili ya kukuza mitaji kwa Wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama Wamachinga alioanza nao biashara. Baadhi ya Wafanyabiashara wakipokea sehemu ya bidhaa zilizotolewa kwao na Kampuni ya ZAC Enterprises kwa ajili ya kukuza mitaji yao  Sehemu ya msaada uliotolewa kwa Wafanyabiashara marafiki wa Izack Ngowi ambaye pia ni Mkurugenzi wa kampuni ya ZAC Enterprises kwa ajili ya kukuza mitaji yao. Baadhi ya wafanyabiashara walionufaika na mtaji kutoka kwa Kampuni ya ZAC Enterprises wakiendel