Posts

WANAWAKE WA WORLD VEGETABLE CENTER WAWALETEA ELIMU YA KILIMO WATOTO WA MATONYOK

Image
Wanafunzi na Watoto wanaolelewa katika kituo cha kulea watoto wanaotoka kwenye mazingira hatarishi wakiwa katika eneo la bustani kwa ajili ya kupata elimu juu ya kilimo cha Mboga kutoka kwa Wanawake watafiti kutoka taasisi ya kimataifa ya utafiti wa Mboga Duniani "World Vegetable Center ya jijini Arusha ambao waliwatembelea watoto hao . Mtafiti  Bi. Inviolate Mosha kutoka taasisi ya kimataifa ya utafiti wa Mboga Dunia " World Vegetable Center",akiwafundisha watoto katika kituo cha kulea watoto cha Motonyoki kilichopo Olasiti jijini Arusha namna ya kuotesha mboga . Mtafiti  Bi. Inviolate Mosha kutoka taasisi ya kimataifa ya utafiti wa Mboga Dunia " World Vegetable Center",akiwafundisha watoto katika kituo cha kulea watoto cha Motonyoki kilichopo Olasiti jijini Arusha namna ya kuotesha mboga ,zoezi hilo likishuhudiwa na Mkurugenzi wa taasisi hiyo Colleta Ndungulu (wa pili kutoka kulia) walioshika majembe. Sehemu ya timu kutoka  taasisi ya kimataifa ya utafiti wa ...

WANAWAKE WA TAASISI YA UTAFITI WA MBOGA DUNIANI WAPELEKA TABASAMU MOTONYOK ARUSHA .

Image
Wanawake katika  katika Taasisi ya Utafiti wa Mboga Duniani “World Vegetable Center” iliyopo Tengeru jijini Arusha  wakionesha furaha yao muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kwenda kituo cha kulea watoto wanaoishi katika mazingira cha Motonyok kupeleka msaada wa elimu wa namna ya kuotesha mboga . Baadhi ya Wanawake katika t aasisi ya Utafiti wa Mboga Duniani “World Vegetable Center” iliyopo Tengeru jijini Arusha wakiwa wamebeba miche ya miti ambayo kwa ajili ya kuoteshwa katika kituo cha kulea watoto wanaotoka katika mazingira hatarishi cha Motonyok kilichopo Olasiti jijini Arusha. Mkurugenzi wa t aasisi ya Utafiti wa Mboga Duniani “World Vegetable Center” iliyopo Tengeru jijini Arusha  Bi Colleta Ndungulu (katikati) akiwa na Mkurugenzi wa kituo cha kulea watoto wanaotoka katika mazingira hatarishi cha Motonyok  Bi. Emmy Nicholaus Sitayo ,wakati wanawake wa taasisi hiyo walipotembelea kituo hicho kutoa mafunzo . Baadhi ya Wafanyakazi katika taasisi ya utafiti wa Mbo...

WANAFUNZI TPC WADANDIA “KIBERENGE “CHA MIWA KURUDI MAKWAO ,ABC IMPACT WATOA BAISKELI .

Image
  Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya TPC wakionesha furaha yao wakati wakiendesha baiskeli zilizotolewana taasisi ya ABC Impact kama sehemu ya msaada ukilenga kuondoa changamoto ya usafiri kwa wanafunzi wanaoishimaeneo ya mbali na shule . Wanafunzi wa kike ndio wamekuwa walengwa wakubwa wa msaada wa Baiskeli uliotolewa na taasisi ya ABC katika kuwapunguzia changamoto yakutembea umbali mrefu pamoja na vishawishi ambavyo vingeweza kuchocheakushindwa kuendelea na masomo . Mgeni rasmi katika hafla ya kukabidhi Baiskeli kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondariya TPC ,Diwani wa kata ya Arusha chini Lenard Waziri (Mwenye suti nyeusi) akikata utepe ikiwa ni ishara ya kupokea msaada wa Baiskeli uliotolewa na taasisi ya ABC Impact.kulia kwake ni Ayanna Kimaro mkurugenzi wa taasisi ya ABC Impact  Mgeni rasmi katika hafla ya kukabidhi Baiskeli kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondariya TPC ,Diwani wa kata ya Arusha chini Lenard Waziri (katikati) akiendesha Baiskeli kama ishara ya kupokea msaada huo...

MKURUGENZI MOSHI ATOKWA MACHOZI ,CCM NA CHADEMA WAKIMPA ZAWADI .

Image
Mkurugenzi wa Halmashauriya Manispaa ya Moshi Mwajuma NAsombe akizungumza wakati wa kikao cha mwisho cha Bajeti cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri . Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Zuberi Kidumo akizungumza jambo katika kikao hicho ,kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe . Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Moshi wakikabidhi keki kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe kama zawadi kutokana na namna alivyosimamia manispaa hiyo pamoja na watendaji wa halmashauri hiyo kufanikisha kupaa kwa mapato ya halmashauri. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe akipokea zawadi ya seti ya vyombo kwa ajili ya chakula kutoka kwa viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Moshi kutokana na namna alivyosimamia manispaa hiyo pamoja na watendaji wa halmashauri hiyo kufanikisha kupaa kwa mapato ya halmashauri. Diwani wa kata ya Kiboriloni Frank Kagoma (Chadema)  akiwaamebeba zawadi ya j...