BENKI MPYA YA MAENDELEO YA KILIMO(TADB) YAAHIDI KUTOA HUDUMA BORA ZA KIBENKI KWA WATEJA WAKE

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Thomas Samkyi akizungumza katika warsha juu ya kujadili mpango wa maendeleo wa taasisi hiyo kwa miaka 25 ijayo. Warsha hiyo ilifanyika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam.
Mkuu wa Mipango, Sera na Ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Francis Assenga akizungumza na wadau katika mkutano huo.
Wadau wa sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji wakifuatilia warsha ya mpango wa maendeleo wa miaka 25 wa benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) uliofanyika kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Sophia Kaduma akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi, wakurugenzi wa benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania pamoja na wadau walioshiriki warsha ya Maendeleo ya miaka 25.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Sophia Kaduma (katikati) waliokaa akiwa na Viongozi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) mara baada ya kufungua mkutano wa Mpango wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki hiyo. 

Comments

Popular posts from this blog

MGOMO WA WAFANYABIASHARA WATIKISA MKOANI KILIMANJARO.

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,SAID MECKY SADICKY AFANYA ZIARA KATIKA MAGHALA NA MADUKA YA MARENGA INVESTMENT KUJIONEA HALI YA TATIZO LA SUKARI

MREMA AENDELEA NA MIKUTANO JIMBONI KWAKE VUNJO