Tizama:DEREVA BODA BODA ALIVYONUSURIKA MDOMONI MWA SIMBA.

Baadhi ya madereva walilazimika kusimama baada ya kukutana na Mnyama,Simba.
Lakini kama unavyojua akili za madereva wengi wa Boda boda wao wanajua kuvuta mafuta tu bila kujiuliza kwa nini wengine wamesimama,Ahmad!!!! akakutana na mnyama uso kwa uso,anafanyaje sasa, Je mafuta yakikata hapo inakuaje.
Bahati nzuri mnyama alikuwa hana muda na mtu akanyanyuka akatokomea porini.

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

MGOMO WA WAFANYABIASHARA WATIKISA MKOANI KILIMANJARO.

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,SAID MECKY SADICKY AFANYA ZIARA KATIKA MAGHALA NA MADUKA YA MARENGA INVESTMENT KUJIONEA HALI YA TATIZO LA SUKARI

MAKATIBU WA CCM VUNJO WASEMA HAWANA UGOMVI NA KATIBU WAO WA WILAYA.