Tizama:MSAFARA WA MAGARI YASIYO NA IDADI YALIVYO PAMBA HARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI.
Mbunge
Joshua Nassari na Anande Nnko wakiwa mbele ya zawadi yao ya Ng'ombe ilitolewa na waumini wa Kanisa la Kilinga ambako ibada ya ndoa ilifanyika,kanisa linaloongozwa na Mchungaji Babu. |
Mbunge
Joshua Nassari na Anande Nnko wakiteta jambo . |
Baba Mzazi wa Joshua Nassari,Mzee Samwel Nassari akimpongeza mwanae kwa hata hiyo. |
Mamsapu akianza majukumu ya kuhakikisha Mzee anakuwa nadhifu kila wakati. |
Maharusi wakaaga katika viwanja vya Kanisa la Kilenga . |
Bi Harusi Anande Nnko akiwa katika gari tayari kuelekea katika viwanja vya Usa-River Academy. |
Msafara ukaanza safari ya kuelekea barabara kuu ya Moshi/Arusha ukitokea kanisani Kilinga. |
Baadae maharusi wakabadili gari ili waweze kuonekana vyema na wakazi wa jimbo la Arumeru Mashariki. |
Maharusi wakiwa katika gari la wazi huku wakipunga mikono kwa watu waliokuwa barabarani. |
Mharusi waki "Show Love" |
Kila sehemu msafara wa magari ya maharusi ulipopita ,wakazi wa maeneo hayo walionesha furaha zao . |
Barabarani kulijaa watu wakimshangilia Mbune wao akijinyakulia Jiko. |
Kama kawaida Jasiri haachi asili na muacha asili ni hasidi na hana akili. |
Msafara wa magari ulikuwa ni mrefu . |
Madereva wa boda boda pia walikuwepo kuongoza msafara . |
Wananchi hawa jamii ya Maasai walitembea umbali mrefu na msafara huku wakiimba nymbo na hatimaye msafara ukaingia Ngurdoto Mountain Lodge kwa ajili ya upigaji wa picha . |
Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini alikuwa katika sherehe hiyo matukio mbalimbali mtaendelea kuyapata hapa na http://dixonbusagaga.blogspot.com.
noma sanaaaa @dick
ReplyDelete