Posts

WANAWAKE WA TAASISI YA UTAFITI WA MBOGA DUNIANI WAPELEKA TABASAMU MOTONYOK ARUSHA .

Image
Wanawake katika  katika Taasisi ya Utafiti wa Mboga Duniani “World Vegetable Center” iliyopo Tengeru jijini Arusha  wakionesha furaha yao muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kwenda kituo cha kulea watoto wanaoishi katika mazingira cha Motonyok kupeleka msaada wa elimu wa namna ya kuotesha mboga . Baadhi ya Wanawake katika t aasisi ya Utafiti wa Mboga Duniani “World Vegetable Center” iliyopo Tengeru jijini Arusha wakiwa wamebeba miche ya miti ambayo kwa ajili ya kuoteshwa katika kituo cha kulea watoto wanaotoka katika mazingira hatarishi cha Motonyok kilichopo Olasiti jijini Arusha. Mkurugenzi wa t aasisi ya Utafiti wa Mboga Duniani “World Vegetable Center” iliyopo Tengeru jijini Arusha  Bi Colleta Ndungulu (katikati) akiwa na Mkurugenzi wa kituo cha kulea watoto wanaotoka katika mazingira hatarishi cha Motonyok  Bi. Emmy Nicholaus Sitayo ,wakati wanawake wa taasisi hiyo walipotembelea kituo hicho kutoa mafunzo . Baadhi ya Wafanyakazi katika taasisi ya utafiti wa Mbo...

WANAFUNZI TPC WADANDIA “KIBERENGE “CHA MIWA KURUDI MAKWAO ,ABC IMPACT WATOA BAISKELI .

Image
  Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya TPC wakionesha furaha yao wakati wakiendesha baiskeli zilizotolewana taasisi ya ABC Impact kama sehemu ya msaada ukilenga kuondoa changamoto ya usafiri kwa wanafunzi wanaoishimaeneo ya mbali na shule . Wanafunzi wa kike ndio wamekuwa walengwa wakubwa wa msaada wa Baiskeli uliotolewa na taasisi ya ABC katika kuwapunguzia changamoto yakutembea umbali mrefu pamoja na vishawishi ambavyo vingeweza kuchocheakushindwa kuendelea na masomo . Mgeni rasmi katika hafla ya kukabidhi Baiskeli kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondariya TPC ,Diwani wa kata ya Arusha chini Lenard Waziri (Mwenye suti nyeusi) akikata utepe ikiwa ni ishara ya kupokea msaada wa Baiskeli uliotolewa na taasisi ya ABC Impact.kulia kwake ni Ayanna Kimaro mkurugenzi wa taasisi ya ABC Impact  Mgeni rasmi katika hafla ya kukabidhi Baiskeli kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondariya TPC ,Diwani wa kata ya Arusha chini Lenard Waziri (katikati) akiendesha Baiskeli kama ishara ya kupokea msaada huo...

MKURUGENZI MOSHI ATOKWA MACHOZI ,CCM NA CHADEMA WAKIMPA ZAWADI .

Image
Mkurugenzi wa Halmashauriya Manispaa ya Moshi Mwajuma NAsombe akizungumza wakati wa kikao cha mwisho cha Bajeti cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri . Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Zuberi Kidumo akizungumza jambo katika kikao hicho ,kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe . Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Moshi wakikabidhi keki kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe kama zawadi kutokana na namna alivyosimamia manispaa hiyo pamoja na watendaji wa halmashauri hiyo kufanikisha kupaa kwa mapato ya halmashauri. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe akipokea zawadi ya seti ya vyombo kwa ajili ya chakula kutoka kwa viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Moshi kutokana na namna alivyosimamia manispaa hiyo pamoja na watendaji wa halmashauri hiyo kufanikisha kupaa kwa mapato ya halmashauri. Diwani wa kata ya Kiboriloni Frank Kagoma (Chadema)  akiwaamebeba zawadi ya j...

MAPATO MANISPAA YA MOSHI "YAPAA" KUTOKA BILIONI 6.1 HADI BILIONI 9.9

Image
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Zuberi Kidumo akitangaza ongezeko la mapato ya Halmashauri ya Manispaa ya Moshi . Mkurugenzi wa Hlamshauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe akizungumza wakati wa baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Moshi . Baadhi ya Wakuu wa Divisheni na watendaji katika ofisi za Halmashauri ya Manipaa ya Moshi wakifuatilia kikao cha Bajeti cha baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo. Baadhi ya Madiwa wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi wakichangia mjdala wa Bajeti ya Halmashauri ya Manispaa ya Moshi wakati wa kikao cha Bajeti .  Na Dixon Hussein - Moshi   Manispaa ya Moshi imepiga hatua kubwa katika ukusanyaji wa mapato ya ndani, ikiongeza mapato kutoka bilioni 6.1 mwaka 2021 hadi bilioni 9.9 mwaka 2025, ongezeko la takribani bilioni 3.7. Mafanikio haya yanatajwa kuwa matokeo ya mikakati madhubuti iliyowekwa ili kuboresha vyanzo vya mapato na kuongeza uwajibikaji katika usimamizi wa rasilimali za umma. Akizungumza katika kikao cha bajeti...

BILIONI 4 KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI KONDOA ,DC NYANGASA AONYA

Image
  Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Fatma Nyangasa akitoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kondoa Bi Dollah Kilo wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi na vyanzo vya maji katika wilaya hiyo. Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Fatma Nyangasa akiwa ameongozana na watendaji wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira pamoja na Ruwasa Kondoa alipotembelea ofisi mpya za Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kondoa . Sehemu ya miundombinu ya maji kwa ajii ya ukamilishaji wa mradi mkubwa wa Maji wa Bilioni nne uliotolewa na Serikali kwa ajili ya kunguza changamoto ya Maji kwa wananchi wa wilaya ay Kondoa . Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Fatma Nyangasa akioneshwa jambo na Kaimu Meneja wa Ruwasa wilaya ya Kondoa Mhandisi Merinyo wakati wa ziara yake ya kutembelea vyanzo vya maji . Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Fatma Nyangasa akitoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kondoa Bi Dollah Kilo wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi n...